Print this page

Tunduru waanza kupata maji

By February 19, 2024 550 0

TUNDURU

Na Salimu Juma

Wananchi wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, wameipongeza Serikali kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Rural Water Supply and Sanitation Agency: RUWASA) kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapatia maji safi.
Walisema kuwa kwa miaka mingi vijiji vya Wilaya ya Tunduru vilikabiliwa na changamoto kubwa ya huduma ya maji safi na salama kutokana na wananchi kutumia maji ya visima na mito, ambayo hayakuwa salama kwa afya zao.

Rate this item
(0 votes)
Japhet