Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akikata utepe Hospitali ya Saratani ya Good Samaritan iliyopo katika Jimbo Katoliki la Ifakara. Wa pili kulia ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Ifakara, Mhashamu Salutaris Libena (mwenye miwani) na kushoto kwa Kardinali ni Mhashamu Lazarus Msimbe, Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro. (Picha na Michael Ally)