Baadhi ya Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mkuu-Mtume, Kijitonyama, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakitoa sadaka kwa Mtoto Yesu katika Pango alimolazwa, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Mkesha wa Krismas parokiani hapo. (Picha na Yohana Kasosi)