Mwenyekiti wa Shirika la Moyo Mtakatifu wa Yesu, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Adolf Mrema (kulia), akimsikiliza Mwenyekiti Mstaafu wa Shirika hilo, Gordon Rwenyagira…
Na Waandishi Wetu Waamini wameaswa kutopokea Ekaristi Takatifu kimazoea huku wakia hawana maandalizi mazuri kiroho.Ujumbe huo umetolewa na maaskofu wa Jimbo Kuu la Dar es…
Na Mwandishi Wetu Serikali imeendelea kuimarisha hatua za kudhibiti, na kutokomeza tatizo la mbegu feki nchini, kupitia mifumo ya kisasa ya uthibitishaji wa ubora, ukaguzi…
Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watumishi wa Umma kote nchini, watambue na wathamini nafasi za kazi walizonazo, kwamba ni huduma wanazotakiwa…
Na Mathayo Kijazi Imeelezwa kuwa vijana wakishapokea Sakramenti ya Kipaimara, hawawi watoto tena, bali wanakuwa Wakristo wakomavu, na wenye kuwajibika katika kuishuhudia Injili ya Yesu…
Na Mathayo Kijazi Chama cha Kitume cha Vijana Wakatoliki Wafanyakazi (VIWAWA) ngazi ya Taifa, kimefanya Uchaguzi Mkuu, na hivyo kuwapata viongozi wapya, watakaoongoza chama hicho…
Na Mwandishi wetu Wakurugenzi na wawakilishi wa vyombo vya habari vya Kanisa nchini Tanzania wamekutana na wawakilishi wa Kurugenzi ya Mawasilano ya Vatican na kujadili…
BAGAMOYO Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Musomba, alisema kuwa siasa ni neno zuri ila watu wameliharibu, kwa kutumia uongo na kupotosha.Askofu Musomba…