Print this page

Wanaokimbia majaribu waonywa

Wanakwaya wa Kwaya Shirikisho ya Parokia ya Mtakatifu Rita wa Kashia – Goba, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiimba wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Domonika ya Kwanza iliyoadhimishwa Parokiani hapo hivi karibuni. (Picha na Yohana Kasosi) Wanakwaya wa Kwaya Shirikisho ya Parokia ya Mtakatifu Rita wa Kashia – Goba, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiimba wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Domonika ya Kwanza iliyoadhimishwa Parokiani hapo hivi karibuni. (Picha na Yohana Kasosi)

DAR ES SALAAM

Na Mathayo Kijazi

Waamini wameonywa kuepuka kukata tamaa kutokana na majaribu wanayokutana nayo, kwani hayo ni sehemu ya maisha yao.
Kauli hiyo ilitolewa na Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Rita wa Kashia – Goba, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Musa Kihoo wakati wa homilia yake katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Kwanza ya Kwaresima iliyofanyika parokiani hapo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet