Print this page

Askofu Musomba alia na wenye Roho dhaifu

By December 23, 2025 10 0
Askofu wa Jimbo la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Musomba akiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Tatu ya Furaha ya Majilio, iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli-Bunju, jimboni humo. Kulia ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Domonick Somola. (Picha na Yohana Kasosi) Askofu wa Jimbo la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Musomba akiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Tatu ya Furaha ya Majilio, iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli-Bunju, jimboni humo. Kulia ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Domonick Somola. (Picha na Yohana Kasosi)

Bagamoyo

Na Laura Mwakalunde

Askofu wa Jimbo la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Musomba, amewataka Waamini kutokuwa na Roho dhaifu, za kushindwa kuvumilia shida na matatizo.
Askofu Musomba alisema hayo hivi karibuni, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Tatu ya Furaha ya Majilio, iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli-Bunju, jimboni humo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet