Print this page

Mwanariadha Simbu ‘atembeza bakuli’

By February 13, 2026 12 0
Alphonce Simbu. Alphonce Simbu.

Pwani

Na Mwandishi Wetu

Kuelekea katika mbio za Boston Marathon, zitakazofanyika nchini Marekani mwezi Aprili mwaka huu, Mwanariadha Staff Sajenti Alphonce Simbu, amewaomba wadau wa michezo kumsapoti gharama mbalimbali za ushiriki.
Mwanariadha huyo alisema kwamba, sasa anaelekeza nguvu zake zote kwenye maandalizi ya Boston Marathon, huku akiwa na kumbukumbu nzuri ya kumaliza nafasi ya pili mwaka jana.

Rate this item
(0 votes)
Japhet