Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Habari Za Michezo

MANCHESTER, UingerezaMeneja wa Manchester United Erik ten Hag ameweka wazi kuwa likizo yake ya majira ya kiangazi iliingiliwa na klabu hiyo mara baada ya kumfuata…
BOSTON, MarekaniBoston Celtics walipata ubingwa wa 18 wa rekodi kwa kuwafunga Dallas Mavericks 106-88 na kukamilisha ushindi wa 4-1 katika Fainali za NBA.Dallas walikuwa wameweka…
DAR ES SALAAM Na Alone Mpanduka Mbio rasmi za kwanza za baiskeli zilifanyika mnamo 1868 huko Ufaransa. Mnamo mwaka 1885, baiskeli za usalama zilitengenezwa huko…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Benchi la Ufundi la Timu ya Soka ya Simba Queens kupitia kwa kocha msaidizi Mussa Mgosi, ametamba kuwa atahakikisha…
DAR ES SALAAM Na Nicholaus Kilowoko Kocha Jamhuri Kihwelo amesema haoni mchezaji yeyote mzawa wa kumfananisha na mshambuliaji John Bocco, hasa kwenye nidhamu ya ndani…
DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Katika Makala haya tunaangazia baadhi ya takwimu muhimu zilizojitokeza kwenye msimu wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara wa 2023/24…
LONDON, UingerezaMeneja wa Middlesbrough, Michael Carrick ametia saini mkataba mpya wa miaka mitatu na klabu hiyo ya Championship.Klabu hiyo ilimaliza katika nafasi ya nane katika…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Beki wa zamani wa timu ya soka ya Simba, Boniface Pawasa ameushauri uongozi wa klabu ya Simba kuhakikisha unafanya…
ARUSHA Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa ajira za ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu ambao unatarajiwa kutumika…
LONDON, UingerezaHakuna muda ulio wazi wa kurejea kwa Andy Murray, baada ya nyota huyo aliyekuwa mchezaji nambari moja wa Uingereza kupasuka mishipa ya kifundo cha…
Page 1 of 7