Print this page

Dawa za kulevya zaendelea kuwatesa vijana nchini

Na Edvesta Tarimo

Matumizi ya dawa za kulevya, yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa afya ya akili na uchumi wa taifa, huku wataalamu wakionya kuwa bila hatua za pamoja, jamii itaendelea kupoteza nguvu kazi yake, hususani vijana.
Matumizi ya madawa ya kulevya yameendelea kuongezeka duniani, huku Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya mwaka 2023, ikionesha kuwa idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya duniani, ilifikia milioni 316, sawa na 6% ya idadi ya watu wenye umri wa kati ya miaka 15–64.

Rate this item
(0 votes)
Japhet