Print this page

Cheti cha pongezi Mdau wa Tumaini Media, Anitha Kihwele

By September 18, 2023 636 0

Mdau wa Tumaini Media, Anitha Kihwele na mumewe Joseph Kihwele, wakitabasamu baada ya kukabidhiwa cheti cha shukrani na Padri Cornel Mashare (kushoto), Paroko wa Parokia ya Kristo Mfalme, Tabata, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kutokana na mchango wa Mama Kihwele katika kuhamasisha majitoleo ya tegemeza Tumaini Media. Cheti hicho kimetolewa na Askofu Mkuu wa Jimbo hilo, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi. Nyuma yao ni Meneja Utawala Tumaini Media, Joseph Kessy.

Rate this item
(0 votes)
Japhet