Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Matukio Ya Wiki

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akiwa katika picha ya pamoja na Mapadri, Shemasi na Wanakwaya wa Kwaya ya Mtakatifu Rita wa Kashia,…
Askofu wa Jimbo Katoliki la Zanzibar, Mhashamu Augustino Shao akibariki sanduku lililobeba mwili wa marehemu Padri Daniel Macha aliyewahi kuwa Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Gaspar, wakati wa Adhimisho la…
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Sesilia-Kisarawe II, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam Padri Roger Kamuzinzi (katikati) akiamua kuanza kwa mchezo wa kuvuta kamba kati ya Wanawake Wakatoliki (WAWATA)…
Mapadri kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya kumwombea marehemu Padri Daniel Macha iliyofanyika katika Parokia ya Mtakatifu Domonico…
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akikabidhi zawadi kwa wawakilishi wa wagonjwa wanaopatiwa huduma za afya katika Zahanati ya Consolata, baada ya Adhimisho…
Washiriki katika Semina ya kuwajengea vijana uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Semina hiyo iliyoratibiwa na Tumaini Media, iliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa…
Waamini kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Nadhiri za Kwanza za Masista wa Shirika la Mtakatifu Fransisko wa…
Watoto wa Shirika la Kipapa la Utoto Mtakatifu kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Watoto Mashahidi…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi (aliyeshika Fimbo ya Kichungaji), Askofu Msaidizi wa Jimbo hilo, Mhashamu Henry Mchamungu (kushoto), Askofu wa…
Page 1 of 23