Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Matukio Ya Wiki

Mbunge wa Jimbo la Njombe, Deo Mwanyika (wa nne katikati), akipokea Kombe kutoka kwa nahodha wa timu ya Utalingoro, Adalbert Ngole, baada ya timu hiyo kuibuka mshindi katika Mashindano ya…
Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakishangilia moja ya matukio wakati ya Sherehe yao WAWATA Day Kiparokia, baada ya…
Waandishi wa Habari wakiwa kanisani wakifuatilia Adhimisho la Misa Takatifu ya Jubilei ya Wanamawasiliano, iliyoadhimishwa katika Parokia ya Bikira Maria Mama wa Fatima – Msimbazi, Jimbo Kuu Katoliki la Dar…
Paroko Msaidizi wa Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Bonaventure Kisoka akizindua mashine ya mazoezi iliyonunuliwa na Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) wa…
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Stephano Musomba (aliyeshika fimbo ya Kichungaji), akiwa katika picha ya pamoja na Wanandoa wa Parokia ya Mtakatifu Paulo Mtume…
Wanamoyo Mtakatifu wa Yesu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam na Jimbo Katoliki la Moshi, wakisali mbele ya sanduku lililobeba mwili wa Mwanashirika mwenzao, marehemu Theresia Nicholaus Massawe wakati…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akisalimiana na Calistre Camilius Lekule wa Parokia ya Bikira Maria wa Rozari Takatifu - Makongo…
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Stephano Musomba - OSA (mwenye fimbo ya kichungaji), akiwa katika picha ya pamoja na Mapadri na Viongozi wa Kamati…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akiwa katika picha ya pamoja na Mapadri, Viongozi wa Kamati Tendaji na Kamati ya Ujenzi…
Page 1 of 19