Baadhi ya Waamini wa Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Kuhitimisha Ziara ya Kuitembeza Sanamu ya Bikira Maria wa Fatima, iliyofanyika Parokia ya Mtakatifu Vincent wa Paulo, Vikindu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, na baadaye waliikabidhi kwa Jimbo Katoliki la Lindi. (Picha na Yohana Kasosi)