Print this page

Misa Takatifu ya Sikukuu ya Watawa iliyoadhimishwa Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata

By February 09, 2024 428 0

Mapadri kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiingia kanisani kuadhimisha Misa Takatifu ya Sikukuu ya Watawa iliyoadhimishwa Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata, jimboni humo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet