Print this page

Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akifungua Mlango Mkuu wa Kanisa

By February 19, 2024 612 0

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akifungua Mlango Mkuu wa Kanisa kuashiria uzinduzi wa Kanisa jipya la Seminari ya Mtakatifu Maria- Visiga, wilayani Kibaha mkoani Pwani, wakati wa Kutabaruku Kanisa hilo. Kushoto ni Gombera, Padri Philipo Tairo, na wa pili ni Kansela wa Jimbo hilo, Padri Vincent Mpwaji.

Rate this item
(0 votes)
Japhet