Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akifungua Mlango Mkuu wa Kanisa kuashiria uzinduzi wa Kanisa jipya la Seminari ya Mtakatifu Maria- Visiga, wilayani Kibaha mkoani Pwani, wakati wa Kutabaruku Kanisa hilo. Kushoto ni Gombera, Padri Philipo Tairo, na wa pili ni Kansela wa Jimbo hilo, Padri Vincent Mpwaji.