Waamini walioshiriki Kongamano la Karismatiki Katoliki Kambi ya Uponyaji, wakiongozwa na Kwaya kusifu na kuabudu wakati wa kuhitimisha kongamano hilo lililofanyika katika Parokia ya Mtakatifu Anthony wa Padua, Mbagala Zakhiem, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam. (Picha na Celina Matuja)