Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakipeleka majitoleo Altareni kwa Askofu Mkuu wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kutabaruku Kanisa jipya la Seminari Ndogo ya Mtakatifu Maria, Visiga, jimboni humo.