Masista kutoka Mashirika mbalimbali wanaofanyakazi ya Kitume Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Semina ya Kupinga Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, iliyofanyika katika ukumbi Parokia ya Kristo Mfalme, Tabata, jimboni humo.
Masista kutoka Mashirika mbalimbali wanaofanyakazi ya Kitume Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Semina ya Kupinga Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, iliyofanyika katika ukumbi Parokia ya Kristo Mfalme, Tabata, jimboni humo.