Waamini wa Parokia ya Mwenyeheri Isdori Bakanja, Boko, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Jumatano ya Majivu iliyoadhimishwa hivi karibuni parokiani hapo. (Picha zote na Yohana Kasosi)