Paroko Msaidizi wa Parokia ya Roho Mtakatifu, Segerea, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Amedeus Babu akiwapaka waamini Majivu wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Jumatano ya Majivu iliyoadhimishwa parokani hapo.