Print this page

Majivu Parokia ya Mtakatifu Mikael Malaika Mkuu, Kawe

By February 19, 2024 752 0

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Mikael Malaika Mkuu, Kawe, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Bonus Ngoo, akiwapaka waamini Majivu wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Jumatano ya Majivu, iliyoadhimishwa parokani hapo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet