Waamini wa Kanda ya Bethlehemu, Parokia ya Thomas More, Mbezi Beach, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika maandamano ya kutembeza Msalaba wa Jubilei ya Miaka 50 ya Jumuiya Ndogo Ndogo, baada ya kukabidhiwa kutoka kwa Paroko wa Parokia hiyo, Padri Ladislaus Kapinda (mwenye kanzu).