Viongozi wa Chama cha Moyo Mtakatifu wa Yesu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiongoza Sala kumshukuru Mungu baada ya Mkutano wao Mkuu wa Jimbo uliofanyika katika Ukumbi wa Kristo Mfalme, Parokia ya Kristo Mfalme, Tabata, jimboni humo. (Picha zote na Yohana Kasosi)