Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani, Chamugasa - Busega, Jimbo Katoliki la Shinyanga, Padri Dustan Sitta, akibariki vipaji wakati wa Adhimisho ya Misa Takatifu ya Dominika ya Kwanza ya Kwaresma iliyoadhimishwa katika Parokia ya Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili, Tegeta Kibaoni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.