Print this page

Wanachama wa Moyo Mtakatifu wa Yesu

By February 23, 2024 672 0

Wanachama wa Moyo Mtakatifu wa Yesu kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakisali kumshukuru Mungu baada ya Mkutano wao Mkuu wa Jimbo uliofanyika katika Ukumbi wa Kristo Mfalme, Parokia ya Kristo Mfalme, Tabata, jimboni humo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet