Print this page

Mhashamu Henry Mchamungu akibariki vipaji

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akibariki vipaji wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Nne ya Kwaresma iliyoadhimishwa katika Kigango cha Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu, Parokia ya Mtakatifu Augustino, Salasala jimboni humo. Katikati ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Peter Assenga.

Rate this item
(0 votes)
Japhet