Waamini wa Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozari Takatifu - Makongo Juu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiwa kanisani wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Nne ya Kwaresma, iliyokwenda sanjari na kuweka jiwe la msingi la shule ya Parokia hiyo. (Picha na Mathayo Kijazi)