Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu (wa tatu kushoto), akikagua ujenzi wa kanisa lawa Mtoto Kigango cha Mtakatifu Theresia Yesu katika Parokia ya Mtakatifu Augustino, Salasala jimboni humo, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Nne ya Kwaresma. Wa nne kulia ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Peter Assenga.