Baadhi ya Waoblate wa Shirika la Wabenediktini wakiwa kanisani wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya kupokelewa Waoblate wapya, na wengine kuweka Nadhiri zao za Daima, iliyoadhimishwa katika Parokia ya Mtakatifu Fransisko wa Asizi – Pugu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.