Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Polycarp Askofu na Shahidi – Kilamba, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiimba wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Matawi iliyoadhimishwa parokiani hapo. (Picha na Mathayo Kijazi)