Print this page

Adhimisho la Misa Takatifu ya kubariki Mafuta

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi (mwenye fimbo ya Kichungaji), Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (kulia kwa Askofu Mkuu), wakiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu wengine, Mapadri, Mashemasi na Mafrateri, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya kubariki Mafuta kuwa Matakatifu, iliyokwenda sanjari na Uzinduzi wa Utunzaji wa Mazingira katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu, jimboni humo. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet