Print this page

Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Matawi

Paroko Msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Thomas wa Akwino – Kipunguni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Nestory Damas akibariki Matawi yaliyoshikwa na Waamini wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Matawi iliyoadhimishwa parokiani hapo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet