Paroko Msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Thomas wa Akwino – Kipunguni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Nestory Damas akibariki Matawi yaliyoshikwa na Waamini wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Matawi iliyoadhimishwa parokiani hapo.