Print this page

Padri Paul Sabuni na Mwenyekiti mpya wa Parokia Teule ya Utatu Mtakatifu-IPTL

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Ambrosi –IPTL, Salasala, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Paul Sabuni akimkabidhi Mwenyekiti mpya wa Parokia Teule ya Utatu Mtakatifu-IPTL, Restituta Mingo, bahasha  za kutegemeza Tumaini Media, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika iliyokwenda sanjali na kuapishwa Viongozi wapya wa Parokia hiyo. (Picha zote na Yohana Kasosi).

Rate this item
(0 votes)
Japhet