Print this page

Parokia ya Mtakatifu Rita wa Kashia – Temboni

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu, akiwa katika picha ya pamoja na Mapadri na vijana waliopokea Sakramenti Takatifu ya Kipaimara katika Parokia ya Mtakatifu Rita wa Kashia – Temboni, jimboni humo, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu. Kulia kwa Askofu, ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Festo Ngonyani. (Picha na Mathayo Kijazi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet