Print this page

Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume, Bahari Beach

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu (aliyeshika fimbo ya kichungaji) akiwa katika picha ya pamoja na Mapadri, Sista mlezi, Viongozi wa Parokia na watoto waliopokea Komunio ya Kwanza katika Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume, Bahari Beach jimboni humo. Kushoto kwa Askofu ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Marco Loth. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet