Shule mpya ya Awali na Msingi ya Mary of The Rosary Pre & Primary School ya Parokia ya Bikira Maria wa Rozari Takatifu - Makongo Juu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam kama inavyoonekana pichani baada ya kubarikiwa na kuzinduliwa na Askofu Mkuu wa Jimbo hilo, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi.