Print this page

Uzinduzi wa Shule ya Mary of The Rosary Pre & Primary School

By January 20, 2025 176 0

Shule mpya ya Awali na Msingi ya Mary of The Rosary Pre & Primary School ya Parokia ya Bikira Maria wa Rozari Takatifu - Makongo Juu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam kama inavyoonekana pichani baada ya kubarikiwa na kuzinduliwa na Askofu Mkuu wa Jimbo hilo, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi.

Rate this item
(0 votes)
Japhet