Print this page

Mbunge wa Jimbo la Njombe, Deo Mwanyika

By January 31, 2025 122 0

Mbunge wa Jimbo la Njombe, Deo Mwanyika (wa nne katikati), akipokea Kombe kutoka kwa nahodha wa timu ya Utalingoro, Adalbert Ngole, baada ya timu hiyo kuibuka mshindi katika Mashindano ya Kombe la Ng’ombe kwa kuichapa timu ya Uwemba 1-0 mshindi alipata zawadi ya ng’ombe. Kushoto kwa Mbunge ni Diwani wa Kata ya Utalingoro, Erasto Mpete. (Picha kwa hisani ya Bertold Njawike)

Rate this item
(0 votes)
Japhet