Print this page

Padri Dominic akiwaombea Wakatekumeni

Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Mlima wa Karmeli – Bunju, Jimbo Katoliki Teule la Bagamoyo, Padri Dominic akiwaombea Wakatekumeni wapya wanaojiandaa kubatizwa katika Mkesha wa Pasaka wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya Kwanza ya Kwaresima iliyoadhimishwa parokiani hapo. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet