Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akiweka ubani katika vyombo ili kufukiza, wakati wa Kutabaruku Kanisa na Altare katika Adhimisho la Misa Takatifu iliyofanyika Parokia ya Kung’ara kwa Yesu Kristo, Mbezi Mshikamano, jimboni humo. (Picha zote na Yohana Kasosi)