Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

JOSE CHAMELEONE: DJ wa Night Club huko Kampala

DAR ES SALAAM

Na Arone Mpanduka

Joseph Mayanja, maarufu kwa jina lake la jukwaani, Jose Chameleone, ni mmoja wa waanzilishi wa muziki wa Uganda, ni mwanamuziki maarufu wa Afrobeat nchini Uganda akiwa na nyimbo nyingi zilizovuma kwa jina lake, akiimba muziki wake kwa kutumia mchanganyiko wa lugha za Luganda, Kiingereza na Kiswahili.
Mwanamuziki huyo mwenye talanta nyingi, alitoa rekodi yake ya kwanza na Ogopa DJs nchini Kenya mwaka 1996, kwa kutoa wimbo wake wa kwanza, ‘Bageya’, ambao alimshirikisha msanii wa Kenya, Redsan, wimbo ambao ulimpa mafanikio makubwa.
Jose Chameleone alizaliwa Aprili 30, 1979 mjini Kampala, nchini Uganda. Wazazi wake ni Gerald Mayanja (Baba), na Prossy Mayanja (Mama), lakini pia ana ndugu zake wanaojulikana ambao ni Douglas Mayanja a.k.a Weasel - Msanii wa Goodlyfe Crew, na msanii wa solo Pius Mayanja a.k.a Pallaso - Msanii wa muziki Henry Kasozi - Mkurugenzi Mtendaji wa Fling Fire cloth line marehemu Emmanuel Mayanja, a.k.a AK47.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.