Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha
Camerlengo wa Kanisa Katoliki la Roma, Kardinali Kevin Farrell, akiongoza Ibada ya kuthibitisha kifo cha Hayati Baba Mtakatifu Fransisko, na kuweka mwili wake katika jeneza, iliyofanyika Jumatatu Aprili 21, mwaka huu saa 2.00 kamili usiku katika Kanisa la nyumba ya Mtakatifu Marta, mjini Vatican. Camerlengo wa Kanisa Katoliki la Roma, Kardinali Kevin Farrell, akiongoza Ibada ya kuthibitisha kifo cha Hayati Baba Mtakatifu Fransisko, na kuweka mwili wake katika jeneza, iliyofanyika Jumatatu Aprili 21, mwaka huu saa 2.00 kamili usiku katika Kanisa la nyumba ya Mtakatifu Marta, mjini Vatican.

VATICAN CITY

Hayati Baba Mtakatifu Fransisko ameacha wosia wake wa kiroho kwa Ulimwengu akisema kwamba, siku zote amekabidhi maisha na huduma yake ya Kipadri na Kiaskofu chini ya ulinzi na tunza ya Bikira Maria, Mama wa Bwana wetu Kristo Yesu.
Katika wosia wake huo Hayati Baba Mtakatifu Fransisko aliomba maisha yake ya kibinadamu yabaki yakipumzika, katika Kanisa Kuu la Bikira Maria Mkuu, huku akingojea Siku ya ufufuo wa wafu.
Alitamani kuona safari yake ya mwisho ya hapa duniani iishie mahali patakatifu pa Bikira Maria, mahali ambapo alienda kusali.
Mazishi ya Baba Mtakatifu yalifanyika Jumamosi tarehe 26 Aprili 2025, kwenye Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican na kuongozwa na Kardinali Giovanni Battista Re, Dekano wa Baraza la Makardinali.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.