Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Uchovu wa wachezaji waivuruga Singida BS

Hussein Massanza. Hussein Massanza.

DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu

Singida Black Stars, imeandaa mkakati wa kuhakikisha katika kipindi hiki cha mapumziko, wanafanya maboresho machache ambayo yalikuwa ndani ya kikosi chao.
Kupitia kwa msemaji wao Hussein Massanza alisema kwamba, kupoteza kwenye mchezo wao dhidi ya TRA United, kumewafanya waone mapungufu mengi ndani ya klabu yao, ambayo kocha wao Miguel Gamond anakwenda kuyafanyia marekebisho.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.