Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Mikael Malaika Mkuu, Kawe, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Bonus Ngoo, akiwapaka waamini Majivu wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Jumatano…
Paroko Msaidizi wa Parokia ya Roho Mtakatifu, Segerea, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Amedeus Babu akiwapaka waamini Majivu wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Jumatano ya…
Mwalimu na Mlezi wa Seminari Kuu ya Mtakatifu Antoni wa Padua – Ntungamo, Jimbo Katoliki la Bukoba, Padri Roland Kashaga (katikati kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Tanzania na Vatican zimeridhika na uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili kwa mchango wa Kanisa Katoliki katika ustawi, maendeleo na mafao ya…
Waamini wa Parokia ya Mwenyeheri Isdori Bakanja, Boko, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Jumatano ya Majivu iliyoadhimishwa hivi karibuni parokiani hapo.…
Masista kutoka Mashirika mbalimbali wanaofanyakazi ya Kitume Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Semina ya Kupinga Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, iliyofanyika katika ukumbi Parokia ya…
Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakipeleka majitoleo Altareni kwa Askofu Mkuu wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kutabaruku Kanisa jipya la Seminari Ndogo…
Waamini walioshiriki Kongamano la Karismatiki Katoliki Kambi ya Uponyaji, wakiongozwa na Kwaya kusifu na kuabudu wakati wa kuhitimisha kongamano hilo lililofanyika katika Parokia ya Mtakatifu Anthony wa Padua, Mbagala Zakhiem,…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akifungua Mlango Mkuu wa Kanisa kuashiria uzinduzi wa Kanisa jipya la Seminari ya Mtakatifu Maria- Visiga,…