Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Wapata magari ya kubeba wagonjwa

Songwe

Na Mwandishi wetu

Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, mkoani Songwe imepatiwa magari matatu ya kubebea wagonjwa (Ambulances) ili kutoa huduma za dharura na kwa rufaa za matibabu kwa wananchi.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu (pichani) alitoa taarifa hiyo wakati akizungumza na Madaktari, Wauguzi na timu ya usimamizi wa Afya ngazi ya Halmashauri katika ziara yake mkoani Songwe.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.