Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Mbinga kupata maji safi

Mbinga

Na Mwandishi wetu

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma imefanikisha mpango wa kumtua ndoo kichwani mama baada ya kuanzisha huduma ya maji.
Hatua hiyo imetokana na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Mbinga kukamilisha ujenzi wa mradi mkubwa wa maji utakaohudumia zaidi ya wakazi 3,600 wa kijiji hicho, na kijiji cha Mangwangala.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.