Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Askofu aonya unywaji pombe

LIRA, Uganda
Askofu wa Jimbo Katoliki la Lira Kaskazini mwa Uganda, Mhashamu Sanctus Lino Wanok, ameonya dhidi ya unywaji pombe kupita kiasi unaofanywa na Makatekista na maajenti wengine wa wachungaji.
Akizungumza katika hafla ya uzionduzi wa Parokia ya Kanisa Katoliki ya Mama Yetu wa Rozari Takatifu, Anyeke wilayani Oyam, Askofu Wanok alibainisha kuwa unywaji wa pombe kupita kiasi unasababisha madhara kwa huduma ya kichungaji katika Kanisa hilo.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.