Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Rais ZCCB awapa usia vijana

LUSAKA, Zambia
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Zambia, Zambia Conference of Catholic Bishops (ZCCB), Askofu Mkuu Mhashamu Ignatius Chama amewataka vijana waliohitimu Chuo Kikuu cha Kikatoliki Zambia, kuwa mabalozi wa uadilifu katika maisha binafsi na kitaaluma.
Askofu Mkuu Chama alisema hayo wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Zambia, na kueleza kwamba ubora wa kitaaluma, siyo tu kupata alama za juu, bali ni kukuza kiu ya maarifa, kukuza ujuzi wa kufikiri kwa kina, na kukuza shauku kubwa ya kujifunza.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.