Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

DODOMA

Na Mwandishi wetu

Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda (pichani) amefariki dunia katika ajali ambayo imetokea eneo la Njia panda ya KIA, Wilaya ya Hai, akiwa kwenye ziara mkoani humo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, na kwamba ajali hiyo imetokea muda wa saa 8 kuelekea saa 9 mchana Juni 18, 2024.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.