Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Gazeti Messaggero latimiza miaka 145

VATICAN CITY, Vatican
Gazeti la ‘II Messaggero’, limetimiza miaka 145 tangu kuanzishwa kwake, wakati huu linapoendelea na maandalizi yake ya Jubilei yake itakayofanyika mwaka 2025.
Baba Mtakatifu Fransisko katika ujumbe wake aliomwandikia Dk. Francesco Gaetano Caltagirone, Rais wa Gazeti hilo la ‘Il Messaggero’ pamoja na mambo mengine, alikazia kanuni maadili ili kuepuka habari za kughushi.
Gazeti la ‘Il Messaggero’ lilianzishwa mjini Roma Desemba 8, maka 1878 na Luigi Cesana kutoka Milan, wakati huo akiwa na umri wa miaka 27 na Baldassarre Avanzini kutoka La Spezia, mwanzilishi wa zamani wa Il Fanfulla huko Florence.
Matoleo manne ya majaribio yalichapishwa kati ya Desemba 16 na 19 mwaka 1878, na kwa mwaka 2023 linaadhimisha Jubilei ya Miaka 145 tangu kuanzishwa kwake.
Gazeti hili limejipambanua kuwa na nguvu ya uandishi wa habari kwa ajili ya kuwahabarisha Walimwengu.
Baba Mtakatifu alitia shime watendaji wa gazeti hilo ili kujielekeza na kujikita zaidi katika kanuni maadili na utu wema, kama sehemu ya mapambano dhidi ya jamii.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.