Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Matukio Ya Wiki

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akipokea zawadi kutoka kwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Maria De Mathias, Mivumoni, Padri Edwin Kigomba…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akiwa katika picha ya pamoja baada ya Adhimisho la Misa Takatifu na Vijana waliopokea Sakramenti ya…
Wanachama wa Moyo Mtakatifu wa Yesu kutoka katika Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Uzinduzi wa Mwezi wa Moyo…
Paroko Msaidizi wa Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli Bunju, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Paul Mallewa aliyeshika Ekaristi Takatifu (katikati), akiwa katika maandamano na Waamini…
Mlezi wa Seminari Kuu ya Segerea, Padri Siegfried Rusimbya Ntare, akibariki matoleo ya waamini wakati wa adhimisho la Misa Takatifu ya Alhamisi Kuu iliyoadhimishwa katika Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kilongawima,…
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Halmashauri ya Walei wa Parokia ya Bikira Maria…
Paroko wa Parokia ya Familia Takatifu, Mburahati, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Vitalis Kassembo (katikati mwenye kanzu nyeusi), akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Halmashauri…
Mwenyekiti wa UWAKA Dekania ya Segerea, Emmanuel Tibaijuka akitoa neno la shukrani kwa UWAKA Parokia ya Mtakatifu Bonaventura, Kinyerezi, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kwa kumkaribisha katika sherehe…
Mlezi wa Seminari Kuu ya Segerea, Padri Siegfried Rusimbya Ntare, akiwaosha miguu waamini wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Alhamisi Kuu iliyoadhimishwa katika Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kilongawima, Jimbo…